MTANGAZAJI

ARUSHA:KWAYA YA KURASINI NA ROYAL ADVENT QUARTET KATIKA MAKAMBI YA BURKA 2015

Kwaya ya Kurasini toka jijini Dar es salaam na Royal Advent Quartet toka Morogoro wako katika makambi ya Burka jijini Arusha yatakayofungwa kesho kwa uimbaji utakaofanyika jioni kanisa hapo.

Waumini wa Kanisa hilo wameiambia blog hii kuwa wamefurahia ujio wa waimbaji hao kwenye makambi ya mwaka huu

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.