PICHA:MAKAMBI YA BURKA JIJINI ARUSHA YALIVYOHITIMISHWA
| Royal Advent Quartet walikuwepo |
| Waimbaji wa Burka |
| Watoto |
| Kwaya ya Vijana ya Burka wakiimba |
| Kurasini SDA Choir walikuwa ndo waimbaji rasmi |
| Mwalimu Samson Kibaso kwenye kinanda |
| Kwaya ya Kisongo nao waliimba |
| Mkurugenzi wa Uwakili wa NETC Mchungaji Musa Nzumbi Jr akihutubia umati wa waumini siku ya kufunga kambi la Burka |
| Mwalimu Kibaso akipima uwezo wa waimbaji wa besi hapo ni mwimbaji wa besi wa Royal Advent Simon Mdee |
| Zawadi nazo zilitolewa kwa wageni |

Post a Comment