MTANGAZAJI

RAIS SAMIA AMSHUKURU RAIS KENYATTA

 


 
 
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemaliza ziara yake ya siku mbili jijini Nairobi nchini Kenya na  kurejea nchini Tanzania Mei 5,2021.
 
Akiwa katika uwanja huo na mwenyeji wake Rais wa Kenya Uhuru Muigai Kenyatta akiwa ameambatana na viongozi mbalimbali Rais Samia alimshukuru Kiongozi huyo  na kisha kupanda Ndege 

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.