MTANGAZAJI

RAIS SAMIA AMKABIDHI NYUMBA RAIS MSTAAFU DKT JAKAYA KIKWETE

 

Mei 9, 2021
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amemkabidhi  mfano wa funguo ya Nyumba Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete kama ishara ya kumkabidhi Nyumba mpya ya kuishi iliyopo Wilayani Kinondoni Mkoani Dar es Salaam,Tanzania  ambayo amejengewa na Serikali kwa mujibu wa sheria.

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.