MTANGAZAJI

ZIARA YA RAIS WA ETHIOPIA HUKO CHATO GEITA TANZANIA


Rais wa Ethiopia Sahle -Work Zewde akizungumza na Wanahabari baada ya mazungumzo yake na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Dkt. John Pombe Magufuli katika Ikulu ndogo ya Chato mkoani Geita.




Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mgeni wake Rais wa Ethiopia Sahle -Work Zewde wakati wakipita kwenye Gadi ya Heshima iliyoandaliwa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ katika uwanja wa Ndege wa Geita uliopo Chato Januari  25 2021.

Mmoja wa Msanii wa kikundi cha Ngoma za asili cha Chato akionesha uhodari wake wa kucheza na nyoka aina ya Chatu wakati wa sherehe za kumpokea Rais wa Ethiopia Sahle -Work Zewde Chato mkoani Geita.





 


No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.