MTANGAZAJI

KUTOKA UGHAIBUNI:KITUO CHA KUTUNZA NA KUASILI WANYAMA NA NDEGE (+VIDEO)


Kituo maalum za kutunza wanyama na ndege  ambao huasiliwa na wananchi kwa kuchangia gharama kilichoko Houston,Marekani.

Kituo hiki cha SPCA ambacho huwezeshwa na serikali kilianzishwa mwaka  1924, Lengo ni kuwawekea kinga na kuwaokoa wanyama na ndege kutokana na kunyanyaswa.

Kila mwaka kituo hiki hupokea  wanyama wa mwituni 11,ooo wakiwa ni aina 360 za wanyama hao,Kituo hiki hutunza wanyama 50,000 kila mwaka.

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.