MTANGAZAJI

MUSOMA:TAARIFA YA KISA CHA MTOTO WA MIAKA 14 KUBAKWA

  Mtoto wa umri wa miaka 14 mkazi wa mtaa wa Nyasho Kati katika Manispaa ya Musoma mkoani Mara ametendewa unyama wa kubakwa na mwanamume anayefahamika kwa jina moja la Emanuel ( 56) na kutokomea kusikojulikana baada ya kitendo hicho.Taarifa kamili kuhusu tukio hilo iko hapa.

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.