MTANGAZAJI

ARUSHA:MKUTANO MKUU WA KANISA LA WAADVENTISTA WA SABATO KASKAZINI MWA TANZANIA KUFUNGULIWA RASMI KESHO SEPTEMBA 9,2015


 

 

Mkutano Mkuu wa Uchaguzi  Umeanza leo jioni  kwa Nyimbo na Matangazo,waweza kuendelea kufuatilia kupitia  https://twitter.com/NTUCAdventist  ama saa 1:30 jioni Morning Star Radio huu ni mkutano wa kichaagua viongozi na kupanga kazi kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.

Kiongozi wa Kanisa la Waadventista Wa Sabato Divisheni ya Afrika Mashariki na Kati Dr Blasius Ruguri atafungua mkutano huo kesho asubuhi  huku kukiwa na  wajumbe wapatao 300.

1 comment

Unknown said...

Aminaaa wabalikiweeee

Mtazamo News . Powered by Blogger.