MTANGAZAJI

NIMEKUWEKEA BAADHI YA PICHA ZA TOKA ARUSHA KWENYE MKUTANO MKUU WA UCHAGUZI WA KANISA LA WAADVENTISTA WA SABATO




Embedded image permalink
Kwaya iliyohudumu leo ni kwaya ya Kwamrombo ya Jijini Arusha
 




 

 

Kutoka kushoto Mchungaji Davis Fue,Dr Blasious Ruguri na Dr Godwin Lekundayo wakiongoza kikao
Wastaafu wakitambulishwa
Mwenyekiti wa Union ya Kusini mwa Tanzania Mch Mark Walwa Marekana akitambulishwa.
Picha za leo toka Arusha kunakofanyika Mkutano Mkuu wa Uchaguzi wa Viongozi wa Kanisa la Waadventista Wa Sabato Union Konferensi ya Kaskazini mwa Tanzania unaofanyika katika kanisa la  Arusha Mjini Kati

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.