MTANGAZAJI

MWANZA:BARABARA YA USAGARA KISESA KUKAMILIKA AGOSTI MOSI MWAKA HUU



Serikali ya Tanzania imesema inatarajia kukamilisha ujenzi wa barabara ya lami kutoka usagara hadi kisesa wilayani Magu mkoani mwanza ifikapo Agosti mosi mwaka huu.

Taarifa iliyotolewa na wakala wa barabara nchini humo TANRODS hapo jana mkoni mwanza imesema kuwa barabara hiyo ilianza kujengwa mei pili mwaka 2013 na kutarajiwa kukamilika baada ya miezi kumi na mitano ya ujenzi hadi sasa mienzi kumi na minne imekamilika tangu mradi guo uanze ambapo nisawa na asilimia 93 ya mradi huo kukamilika .

Tanrods inasema kuwa changamoto zinazosababisha mradi wa ujenzi wa barabara hiyo usikamilike kwa wakati ni Serikali kuchelewesha malipo kwa wakandarasi.

Barabara hiyo ya usagara hadi kisesa ina urefu wa kiometa 16.8 na inajengwa katika kiwango cha lami ili kiungo kati ya kanda ya kaskazini magharibi na kusini mwa nchi jirani na Kenya na kati ya eneo la Burundi na Rwanda.

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.