MTANGAZAJI

DALADALA MAZIMBU MJI KASORO BAHARI ZAGOMA

Greda la manispaa ya Morogoro likisawazisha njia ya Mazimbu iliyoaribika kutoka na mvua zinazoendelea kunyesha na kusababisha daladala kugoma

Meya wa Manispaa ya Morogoro,Profesa Ishengoma (kulia) akiwa na naibu wake Amir Nondo pamoja na Injinia wa Manispaa hiyo Bhati Mwasebe wakiangalia ubovu wa barabara ya Mazimbu

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.