UJANJA KUWANASA WAJANJA???
Program hiyo inafanyakazi kwa simu za kiganjani na laptop inauwezo wa kukutaarifu simu yako ama laptop yako ilipo baada ya kuibwa na hivyo kuifuatilia uipate, wenzetu mlioko nchi za nje ya Afrika ya Mashariki vipi huko simu na laptop zinapoibwa mnazipataje??? Wadau wa Tanzania vipi iletwe Ujanja tuwapate wajanja????
Post a Comment