MSIBA BOTSWANA

Pichani juu ni wakati kundi la waimbaji wa Royal Advent Quartet toka Morogoro,Tanzania lilipofanya ziara nchini Swaziland mwaka 2002 ambako familia ya Dr Mgeni ilikuwa ikiishi kabla ya kuhamia kikazi nchini Botswana. Mwili wa Marehemu unatarajiwa kusafirishwa kuja Tanzania kwa mazishi.
BLOG HII INATOA POLE KWA FAMILIA YA DR MGENI,NDUGU JAMAA NA MARAFIKI POPOTE WALIPO
Post a Comment