MTANGAZAJI

RAIS WA TANZANIA AZINDUA KIWANDA CHA KUSAFISHA DHAHABU


 

 

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amezindua Kiwanda cha kusafisha Dhahabu cha Mwanza Precious Metals Refinery limited kilichopo  Sabasaba jijini humo, ambapo alipata nafasi ya  kujionea hatua mbalimbali za upokeaji malighafi, usafishaji pamoja na upatikanaji wa Dhahabu iliyosafishwa.

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.