MTANGAZAJI

HOTUBA YA NAIBU WAZIRI ANTHONY MAVUNDE KWA MKUTANO WA ATAPE 2019 (+VIDEO)

Aprili 18,2019 Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Wizara ya Kazi,Vijana na Ajira Anthony Mavunde alifanya Ufunguzi rasmi wa Maadhimisho ya miaka 20 ya Chama cha Wanataaluma na Wajasiriamali Waadventista nchini Tanzania (ATAPE),yaliyofanyika mjini Bariadi ambapo aliitaka ATAPE kuwa na njozi za kufanya mambo makubwa yanayoleta tija kwa Chama hicho nchini Tanzania.

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.