MTANGAZAJI

TANESCO YAELEZA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME YA KINYEREZI JIJINI DAR ES SALAAM


SHIRIKA la Umeme nchini Tanzania TANESCO kupitia kwa  Meneja Miradi wa Shirika hilo, anayeshughulikia uzalishaji Mhandisi Stephene S. A. Manda limefafanua utekelezaji wa miradi ya umeme Kinyerezi II wa Megawati 240 na ule wa upanuzi wa Kinyerezi I wa Megawati  185.
Licha ya mradi huo wa Kinyerezi II Mradi mwingine ni wa upanuzi wa Kinyerezi I unaozalisha megawati 150 ili ufikie Megawati 335 kwa kuongeza Megawati 185.

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.