MTANGAZAJI

HAFLA YA KUPOKELEWA KWA NDEGE MPYA YA AIRBUS 220 - 300 (DODOMA) ILIYONUNULIWA NA SERIKALI YA TANZANIA

Ndege mpya aina ya Airbus 220-300 ambayo imenunuliwa na Serikali ya Tanzania ikimwagiwa maji ikiwa ni ishara ya karibu na heshima 
 (Water salute) kwa mara ya kwanza katika ardhi ya Tanzania Uwanja ndege
wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) Desemba 23,2018 

(picha zote na Ikulu).


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Dkt. John Pombe Magufuli akimpongeza mmoja wa Marubani Kapteni Pandya aliyekuja na ndege hiyo mara baada ya kuwasili katika katika uwanja wa ndege



 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikata utepe pamoja na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa,Balozi wa Canada Pamela O’donnel akiwa  na viongozi wengine mara baada ya kuwasili kwa Ndege mpya aina ya Airbus 220-300 ambayo imenunuliwa na Serikali.Hafla iliyofanyika katika Uwanja ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) Desemba 23,2018


No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.