MTANGAZAJI

KAMBI LA VIJANA WA KIADVENTISTA LAMALIZIKA HUKO KILOSA




Vijana zaidi ya 3,000  toka makanisa ya Waadventista Wa Sabato katika jimbo kuu la Kusini mwa Tanzania  walihudhuria kambi la mafunzo lililofanyika Wilayani Kilosa mkoa wa Morogoro  kwa juma moja ambalo limemalizika Juni 30 mwaka huu.

Mkurugenzi wa JCB na Kiongozi wa waimbaji wa The Light Bearers Waziri Barnabas amezungumza na wavuti hii.

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.