MTANGAZAJI

RAIS DR JOHN POMBE MAGUFULI ALIPOTOA SIKU SABA KWA WALIOKWEPA KODI BANDARINI

Picha kwa hisani ya Bongo5.com
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr John Pombe Magufuli ametoa siku saba kwa wafanyabiashara wanaojijua kwa namna moja ama nyingine walikwepa ulipaji wa kodi ya serikali wakati wa kutoa makontena yao bandari kutokimbia na kujificha na badala yake wajitokeze kwa hiari yao wakalipe kodi waliyoikwepa na kwamba watakaopuuza agizo hilo baada ya siku saba hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.