MTANGAZAJI

KURASINI SDA CHOIR KUFANYA TAMASHA KISUMU,KENYA AGOSTI 4,2013

 
 
Kwaya kongwe ya nyimbo za Injili nchini Tanzania, Kurasini SDA inatarajia kuelekea Kisumu nchini Kenya juma lijalo kwa ajili ya makambi tarehe 3 -10 Agost, 2013. ambapo Agosti 4,2013 watafanya tamasha la uimbaji mjini Kisumu.
 
 Tamasha litafanyika kwenye uwanja wa michezo wa Kenyata na litahusisha wageni mashuhuri mbalimbali kule Kenya.Lengo la tamasha hilo ni  kuchangisha fedha kwa ajili ya  kuendeleza miradi ya kwaya hiyo iliyoko Bungu -Rufiji,Tanzania

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.