MTANGAZAJI

'WAMACHINGA"WA MWENGE JIJINI DAR ES SALAAM WALIPOFANYA USAFI LEO










Add caption
 
 
Kuanzia sasa wamachinga na wafanya biashara wote wa maeneo ya Mwenge watakuwa wanafanya usafi katika maeneo ya karibu na kituo cha daladala mwenge kila siku ya Jumamosi na kuwa hakuna mtu ataruhusiwa kutupa takataka hovyo katika viunga vya Mwenge.
 
 Hii ni changamoto kwa serikli ya hapa kuhakikisha kuwa ari hii inaendelea na kujifunza kuwa sio kila wakati wamachinga ni wafanya fujo. Ni watu wastaarabu na wanaweza kufanya mambo makubwa kama wakiunganisha kwa kuhamasishwa. 
 
Tahadhari kwa wapitaji wa Maeneo ya Mwenge "USITUPE TAKATAKA HOVYO KATIKA ENEO HILI MAANA UKINASWA NA POLISI WA MAZINGIRA UTAWAJIBISHWA.
Chanzo: goldentzblog

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.