MTANGAZAJI

UZINDUZI WA DVD MWONEKANO NAMBA MBILI YA MBIU KWAYA HUU HAPA

 

Mbiu Kwaya toka Kanisa la Waadventista Wasabato Tandale jijini Dar es salaam inataraji kufanya uzinduzi wa DVD mwonekano namba 2 waliyoipa jina la Fikiri Mwenyewe,uzinduzi utakofanyika Juni 2,2013 katika ukumbi wa Delux Hall Sinza  jijini Dar es salaam,Tanzania,kuanzia saa 6 mchana.

Uzinduzi huo uliodhaminiwa na Excellent Pro utawahusisha pia waimbaji wa Sonda ya Dilu,Kurasini SDA Choir,Angaza Kwaya,Familia ya Injili

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.