MTANGAZAJI

MDAHALO WA KATIBA MEI 26,2013


 


Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kwa kushirikiana na Kamati Maalum ya Katiba pamoja na ITV na Radio One wanawaalika watanzania wote kwenye Mdahalo wa Katiba utakalofanyika ndani ya ukumbi wa Ubungo Plaza (Blue Pearl) Dar es Salaam Mei 26,2013.

Mdahalo huo utaanza saa 8 kamili mchana na kufungwa saa 11 jioni. Mada kuu ya mdahalo huo ni Changamoto za Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ya mwaka 2011.  Mdahalo huo utaonyeshwa moja kwa moja na ITV. 

Walengwa wa mdahalo huu ni watanzania wote
Watanzania wote mnakaribishwa kufuatilia mdahalo huo kwa njia ya televisheni ya ITV.

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.