MAJERUHI WA AJALI YA AMBASSADORS OF CHRIST WALIVYOPELEKWA RWANDA MEI 10
![]() |
Umati wa watu wakiwasubiri kuwaona majeruhi wa ajali katika hospitali ya King Faisal |
![]() |
Helkopta ya kijeshi iliyowabeba majeruhi |
![]() |
Helkopta baada ya kutua |
![]() |
Askali wakimshusha mmoja wa majeruhi |
![]() |
Ndugu wakisubiri kuwaona majeruhi |
![]() |
Majeruhi wakipelekwa hospitalini |
![]() |
Mmoja wa waimbaji wa sauti ya nne wa Ambassadors of Christ akizungumza na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali huko Rwanda |
Post a Comment