HUYU NDIYE FRANCIS CHEKA BONDIA TOKA MOROGORO

Cheka achana na mapambano yasiyo na maana, huyo Kaseba ni mdogo sana kwako.Promoter wako akutafutie mapambano ya maana (kimataifa)na yenye pesa nzuri.Wahuni kina Kaseba watakuua bure maana hawataki kushindwa.
Hongera kaka Francis
Cheka usiwachekee wahuni. chonde chonde chonde usisikilize mapromota wachonganish. pia usisikilize redio mbao chonganishi. boxing ni mchezo lakini kwa mwendo huu mnaouonyesha mchezo unataka ugeuzwe vita. watasema maneno oooh haniwezi, kabahatisha, aliroga ilimradi tu wakupate ulingoni na wao wapate pesa. tayali naona kambi ya kaseba ni wagomvi na washari. tulimuona yule mtu aliyeingia kumfanyia vurugu Cheka. tena nimesikia cheka anataka kupambana na kaseba katika hiyo kickboxing. chonde choncde baba kickboxing ndio mtaji wa kaseba. hana nguvu mikononi. achana nae. kilikuwa ni kizingiti ushakivuka angalia mbele kwenye ulaji. boxing ina muda utahitaji kula nguvu yako siku ze mbele.
Hello Mtangazaji habari yako kwako nakupongeza kwa kazi nzuri sana na globu yako inapendeza nilikuwa naomba msaada mmoja tu je aliyekudesignia hii blogu yako nitampataje??? please nisaidie
Hellen
Post a Comment