MTANGAZAJI

NCHI 10 TAJIRI AFRIKA

 


Shirika la Fedha Duniani IMF na Benki ya Dunia, katika ripoti ya pamoja iliyochapishwa mwishoni mwa 2021, zimetangaza nchi 10 tajiri zaidi barani Afrika.

Misri imekuwa nchi ya kwanza barani Afrika kuwa na ukuaji wa juu wa uchumi (GDP) kulingana na ripoti hiyo.Mapato ya kila mwaka ya Misri ni $1.38 trilioni.

Nigeria, ambayo ni ya pili tajiri zaidi barani Afrika, ina pato la taifa la dola trilioni 1.14. Nigeria ina jumla ya watu milioni 206.1, ikiifanya kuwa nchi yenye watu wengi zaidi duniani. Uchumi wa Nigeria unategemea mafuta na kilimo.

Afrika Kusini, ambayo ni nchi tajiri zaidi barani Afrika, inaoredheshwa ya tatu ikiwa na pato la taifa (GDP), inayofikia dola bilioni 861.93 kwa mwaka.Nchi hiyo ina watu 59,899,576, uchumi wake unategemea madini , hususan dhahabu na mali asili nyingine.

Algeria, ni nchi ya nne tajiri zaidi barani Afrika, na pato la taifa la (GDP) ni dola bilioni 532.57.Nchi hiyo ina watu 44,911,520 na uchumi wake unategemea mafuta ba gesi asilia inayouzwa nje ya nchi.

Morocco, ambayo iko Afrika Kaskazini na kushika nafasi ya tano kati ya nchi 10 tajiri zaidi barani Afrika, Pato la Taifa (GDP) la nchi hiyo ni dola bilioni 302.77.Nchi ina wakazi 37,462,423 na uchumi wake unategemea kilimo, madini na utalii.

Ethiopia, ambayo iko Afrika Mashariki na kushika nafasi ya sita kati ya nchi tajiri zaidi barani Afrika, ina Pato la Taifa la $298.57 bilioni kwa mwaka.Ethiopia ina wakazi milioni 115 na uchumi wake unategemea uzalishaji wa kilimo.

Kenya, ambayo inapatikana eneo la Afrika Mashariki na imeoodheshwa ya saba miongoni mwa kumi tajiri zaidi barani Afrika, ina Pato la Taifa la kila mwaka la $269.29 bilioni.Ina Pato la Taifa la kila mwaka la $269.29 bilioni.Kenya ina watu 54,039,625, na uchumi wake unategemea kilimo, utalii na biashara.

Angola, ambayo iko eneo la kati mwa Afrika, inaorodheshwa ya nane miongoni mwa nchi kumi tajiri zaidi barani Afrika. Ina Pato la Taifa la kila mwaka la bilioni 217.97 za Kimarekani.Angola ina jumla ya watu 35,601,398, na uchumi wake unategemea mafuta na madini.

Ghana, ambayo ipo magharibi mwa Afrika katika inaorodheshwa ya tisa miongoni mwa nchi 10 tajiri zaidi katika bara la Afrika, ina jumla la pato jumla la serikali la dola bilioni 193.63 kwa mwaka.Ghana ina watu 33,483,283, na uchumi wake unategema uzalishaji wa viwanda kama vili teknolojia na uchakuzi.

Hatimaye, Sudan, ambayo ipo katika eneo la Afrika Mashariki, inaorodheshwa ya 10 miongoni mwa nchi tajiri barani Afrika, ikiwa na pato la taifa la dola bilioni 189.87 za Kimarekani kwa mwaka.Sudan ina watu 46,888,316, na uchumi wake unategemea mafuta na kilimo.

Ripoti ilisema kuwa bara la Afrika lina mali asili nyingi, lakini nchi katika bara hilo zinatumia mali hizo kuzuia vita, ufisadi na misukosuko ya kisiasa ambayo imechangia masuala haya.





No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.