MTANGAZAJI

TUWALINDE WATOTO WETU ILI WAJE KULISAIDIA TAIFA"- WAZIRI JENISTA (+VIDEO)


Juni 12  ya kila  mwaka ni inaadhimishwa  Siku ya Kupiga Vita dhidi ya utumikishwaji wa Watoto.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais- Bunge, Sera, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu Mhe. Jenista Mhagama amesema katika kuadhimisha siku hii, Serikali imedhamiria kuendelea kuielimisha jamii juu ya athari ambazo zinawapata watoto wanapotumikishwa kufanya kazi tofauti na umri wao.

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.