MTANGAZAJI

ALIYEWAHI KUTUMIA DAWA ZA KULEVYA ATOA USHAURI WA KUJIEPUSHA NA MATUMIZI YA DAWA HIZO

Almasi Almasi ni kijana mtanzania ambaye aliwahi kutumia dawa za kulevya na akaacha ameamua kutumia muda wake katika kutoa elimu ya tatizo  la matumzi ya dawa kwa kulevya, anatoa ushauri kwa jamii katika mahojiano haya.

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.