MTANGAZAJI

DAR ES SALAAM:UBALOZI WA MAREKANI WATOA MAFUNZO KWA BLOGGER

  
Image may contain: 22 people, people smiling, people standing
Blogger wakiwa na wawezeshaji (picha zote kwa Hisani ya Ubalozi wa Marekani)

 Image may contain: 1 person

 Image may contain: 8 people, people smiling, people sitting and indoor

Image may contain: 1 person, sitting

 Image may contain: 2 people, people smiling, people standing

 Image may contain: 2 people, people smiling, people standing

Image may contain: 3 people, people smiling

 Image may contain: 3 people, people smiling, indoor
Image may contain: 3 people, people smiling, people standing
 Image may contain: 2 people, people standing and people sitting

Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania kupitia kitengo chake cha Mawasiliano ya Umma leo Machi 21,2017 umetoa mafunzo kwa baadhi ya waandishi na wamiliki wa Blog nchini Tanzania kupitia Mtandao wa Blogger nchini Tanzania (TBN)ikiwa ni katika kuwajengea uwezo wa kuandika habari zenye weledi kwenye mitandao ya kijamii.

Mafunzo hayo yaliyohusu Uandishi wa Habari kwa kutumia teknolojia mpya yamefanyika ulipo Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania yaliendeshwa na Mwandishi wa Habari,Mpiga picha na Blogger  raia wa Marekani Ricci Shryock anayeishi na kufanyakazi zake kwa sasa mjini Dakar Senegal.

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.