MTANGAZAJI

TANGA:TANZANIA YASAINI MRADI WA BOMBA LA MAFUTA GHAFI TOKA UGANDA HADI TANZANIA

 

Waziri wa Nishati na Madini wa Tanzania Prof. Sospeter M. Muhongo (Kulia) na Waziri wa Nishati na Maendeleo ya Madini wa Uganda Bi. Irene Muloni (kushoto) wakisaini makubaliano mbele ya waandishi wa Habari kuhusu Maendeleo ya Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi kutoka Hoima Uganda hadi Bandari ya Tanga Tanzania.

 Mkutano huo ulifanyika jana katika Hotel ya Tanga Beach Mkoani Tanga na kuhudhuria na Kampuni za Total (France), Tallow(UK), CNOOC(China) na Kampuni za Mafuta zinazomilikiwa na Serikali za Tanzania (TPDC) na Uganda(UOC

 

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.