MTANGAZAJI

SHINYANGA:WAIMBAJI WAWILI WAKONGWE WA SAUTI YA JANGWANI WAFARIKI DUNIA


Marehemu Suzana Kegocha wa pili kulia enzi za uhai wake

Wa Kwanza mstari wa nyuma ni Marehemu Mery Petro enzi za uhai wake

Waimbaji wa Sauti ya Jangwani walipokuwa kwenye makambi ya Manzese 2015

Toka juma lililopita yaani ijumaa ya Septemba 25,2015  na usiku wa ijumaa ya Oktoba 2,2015 kwaya ya Sauti ya Jangwani toka Shinyanga imejikuta ikiwapoteza waimbaji wake wakongwe ambao wamelala mauti.

Mery Petro (wa kwanza kulia mstari wa nyuma picha ya pili) ambaye alikuwa anasumbuliwa na Kansa ya Kizazi alizikwa  Septemba 25 mwaka huu huko Shinyanga,ijumaa ya Oktoba 2 usiku wa kuamkia leo Mwimbaji mwingine Suzana Kigocha amefariki dunia katika Hospitali ya Bugando jijini Mwanza alikokuwa amelazwa.

Mwili wa Marehemu Suzana Kigocha unataraji kufikisha leo mjini Shinyanga kwa ajili ya taratibu za maziko yatakayofanyika huko Kolandoto,Shinyanga.


Sendama John toka Shinyanga amezungumza na blog hii kuhusu tukio hilo mapema leo

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.