MTANGAZAJI

PWANI:TAARIFA YA CHANZO CHA KIFO CHA MCH CHRISTOPHER MTIKILA TOKA KWA KAMANDA WA JESHI LA POLISI MKOA WA PWANI IKO HAPA

Mchungaji Christopher Mtikila enzi za uhai wake
Mwanasiasa maarufu nchini Tanzania mwenyekiti wa chama cha DP Mchungaji Christopher Mtikila amefariki dunia majira ya saa 11:45  alfajiri katika kijiji cha Msolwa,Chalinze mkoani Pwani akitokea mkoani Njombe katika kampeni.

Taarifa zilizothibitishwa na mgombea Ubunge jimbo la Iringa Mjini na mwenyekiti wa DP Mkoa Robert Kisinini wakati akizungumza na vyombo vya habari  leo amesema ni kweli mwenyekiti wake huyo  amefariki dunia.

Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani Kamishina Msaidizi Jafari Mohamed Ibrahim amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na kueleza chanzo cha ajali katika mahojiano na Mwandishi wa Habari Masau Bwire sikiliza hapa,


No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.