MTANGAZAJI

ARUSHA:MAONESHO YA NNE YA CHUO KIKUU CHA ARUSHA YALIVYOFANA


Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na michezo nchini Tanzania  Prof.Elisante Ole Gabriel akihutubia kwenye maonesho hayo.


Bendi ya Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Waadventista (TASS)
Wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Waadventista (TAPS)




Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Konferensi Unioni ya Kaskazini mwa Tanzania Gideon Msambwa akitoa maelezo kwa wanafunzi wa sekondari waliotembelea bada la mawasiliano

 





Miongoni mwa Washindi wa mabanda ya Maonesho wakina na medali yao

VGS Wakiimba kwenye tukio hilo
The Travellers Wakiimba


Maonesho ya ubunifu wa bidhaa mbalimbali ya nne ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Arusha pamoja na vyuo jirani yakihusisha pia  shule za sekondari,msingi na vikundi mbalimbali vya ujasiria mali yamefanyika hivi karibuni jijini Arusha.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na michezo nchini Tanzania  Prof.Elisante Ole Gabriel ndiye alikuwa Mgeni Rasmi ambeye ameishauri bodi ya Chuo kikuu cha Arusha kufanya mahusiano ya karibu na vyuo vya nje ya nchi ili kuongeza ufanisi katika taaluma hasa katika kubuni na kugundua fursa mbalimbali za kiuchumi.

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.