MTANGAZAJI

PICHA:UZINDUZI WA UMOJA WA WANATAALUMA VIJANA WAADVENTISTA (AAYP)TANZANIA ULIVYOKUWA JANUARI 31,2015


Viongozi wa Kanisa la Waadventista Wa Sabato waliokuwepo kwenye uzinduzi wa AAYP Tanzania


Wanataaluma Vijana Waadventista Wakisoma ahadi


Kiongozi wa Kanisa la Waadventista Wa Sabato katika kanda ya Afrika Mashariki na Kati Dr Brasious Ruguli akizindua AAYP



Acacia Singers wakiimba

Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Kanda ya Afrika Mashariki na Kati Mch Steven Bina

Mwenyekiti wa Unioni ya Kusini mwa Tanzania ya Kanisa la Waadventista Wa Sabato  Mch Magulilo Mwakalonge akitoa utambulisho


Mwenyekiti wa Unioni Konferensi ya Kaskazini mwa Tanzania Dr Godwin Lekundayo akitoa maelezo

Born To Praise wakiimba

Vocappella walikuwepo pia


The Brother nao waliimba vyema







No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.