MTANGAZAJI

PICHA:MORNING STAR TELEVISHENI YAKABIDHIWA LESENI YA KURUSHA MATANGAZAO NA TCRA

Mkurugeni wa MSTV, Matucha Mazala   (Wa Pili toka kushoto) baada ya kukabidhiwa leseni
Mkurugenzi wa TCRA Prof John Nkoma akizungumza na Mkurugenzi wa MSTV Matucha Mazala

Hatimaye Morning Star Televisheni-MSTV ya Kanisa la Waadventista Wa Sabato  imekabidhiwa leseni ya kurusha matangazo leo Januari 30,2015.Hafla fupi ya makabidhiano ya leseni ilifanyika Makau makuu ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania - TCRA ambapo Mkurugenzi Mkuu wa TCRA Prof John Nkoma alimkabidhi Mwenyikiti wa Konfensi ya Nyanda za juu mbele ya Mkurugenzi wa MSTV. Mungu awabariki wote.

2 comments

Unknown said...

Nina raha isiyo kifani kwa habari hii. Mungu ni mkuu na ametenda maajabu siwezi kueleza.

Unknown said...

Amen sasa kazi ya Mungu inazidi kusonga mbele....
.

Mtazamo News . Powered by Blogger.