MTANGAZAJI

PICHA :TAMASHA LA KUSIFU NA KUABUDU LILILOANDALIWA NA KUNDI LA VocaPELLA

 Kundi la Nyimbo za Injili toka katika Kanisa la Waadventista Wa Sabato Temeke jijini Dar es salaam linaloundwa na waimbaji waimbaji wanne la VocaPELLA (Pichani Juu) Oktoba 24,2014 walifanya tamasha la kusifu na kuabudi,tamasha lililofanyika kanisani hapo na kuhudhuriwa na waimbaji mbalimbali.


 Leah Mudy akiimba baada ya hivi karibuni kuamua kurudi katika uimbaji wa nyimbo za Injili

          
                                                                          Haika Mbaga




                                                             
                                                                   Family Singers


                                     Kundi la Watoto wa MUNGU
                                                  Haroun akipiga gitaa


No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.