MTANGAZAJI

TANZANIA YAIFUNGA CAMEROON

Kiungo wa Timu ya Taifa ya Vijana ya Tanzania U23, Kigi Makasi, akibinjuka sarakasi kushangilia bao la kwanza aliloifungia timu yake dhidi Cameroon. (picha na : Muhidin Sufiani)
Tanzania imeifunga Cameroon katika mechi ya U23 iliyochezwa hii leo. Dakika 90 za kawaida zilipomalizika, mabao yalikuwa Tanzania 2 Cameroon 1. Zikaongezwa dk. 30 ambazo hazikubadili matokeo. Ikaamuliwa kupiga  penati, Tanzania ikapiga 5 na kufunga  4 wakati Cameroon wakafunga  3 tu.

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.