MTANGAZAJI

MTANGAZAJI USO KWA USO NA MARION SHAKO NA MIRIAM LUKINDO MAUKI

Waimbaji wa nyimbo za Injili  Marion Shako toka Kenya (kushoto),Miriam Mauki toka Tanzania(katikati) na rafiki yao wakiwa ndani ya Morning Star Radio baada ya mahojiano kwenye kipindi cha Lulu za Injili hii leo

Mtangazaji akiwa na waimbaji hao ambapo kesho watakuwa wakiimba kwenye Tamasha la Uzinduzi wa DVD ya Miriam Mauki utaofanyika kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee kuanzia saa 8 mchana

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.