MTANGAZAJI

UWEKAJI WA JIWE LA MSINGI KIWANDA CHA MAZIWA KARAGWE



 




 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 19 Januari, 2021 ameweka jiwe la msingi  la ujenzi wa Kiwanda cha kusindika maziwa na vyakula vya mifugo cha Kahama Fresh Limited kinachojengwa Kihanga Karagwe mkoani Kagera.

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.