MTANGAZAJI

DAR ES SALAAM:MWIMBAJI WA KWAYA YA KURASINI AFARIKI DUNIA.


Marehemu Mama Stansila Billy George (katikati) enzi za uhai wake



Habari ya kusikitisha nyingine hii leo ni kwamba Mwimbaji wa sauti ya pili wa Kwaya ya Kurasini Mama Stansila Billy George amefariki ambapo Msiba uko Iringa.

Mwimbaji huyo alifariki alfajili ya kuamkia jana Oktoba 11,2015  na amekuwa akiimba na Kwaya ya Kurasini toka mwaka 2005 huku maziko yake yakitarajiwa kufanyika kesho Oktoba 13,2015.

Mkuu wa Mawasiliano wa Kwaya ya Kurasini amezungumzia tukio hilo

3 comments

Unknown said...

Poleni sana kwaya ya Kurasini, Ninawaombea, kuweni na ujasiri. Mungu na wafute machozi

Anonymous said...

Hakika tu mavumbi,na Mungu pekee ndie faraja yetu,awafariji wote kupitia ahadi na andiko lako, Mungu awatie nguvu ktk majonzi,amina

Unknown said...

Poleni sana

Mtazamo News . Powered by Blogger.