MTANGAZAJI

KURASINI SDA CHOIR WAREKODI SANTURI MWONEKANO MPYA NAMBA 7 HUKO TURIANI MOROGORO




Waimbaji wa Kwaya ya Kanisa la Waadventista Wa Sabato Kurasini jijini Dar es salaam (pichani) mwishoni mwa juma walisafiri mpaka Madizini,Turiani Morogoro kwa ajili ya kurekodi toleo jipya la santuri mwonekano namba 7.

Joseph Oola miongoni mwa walimu na mwimbaji wa muda mrefu wa kwaya hiyo ameiambia blog hii kuwa waliamua kwenda Turiani na hasa kutumia eneo linaloonekana pichani ili kuleta tofauti na mvuto wa santuri yao hiyo mpya ambayo itatoka mwaka huu.

3 comments

Unknown said...

big up sana jamani nawapenda, kuwa wabunifu huonyesha sanaa munaijua. Mungu awabariki sana. Big up Maduhu for sharing

Unknown said...

Kurasini wameonyesha ukomavu katika ubunifu.... inachosha kutuonyesha video za marching kila siku na majumba ya kuazima...... Nature speaks of the creation of God. Mfano mzuri

Unknown said...

hongera kurasini

Mtazamo News . Powered by Blogger.