MTANGAZAJI

GARI LA WAIMBAJI WA LIGHT BEARERS LAWASILI

Waimbaji wa Light Bearers toka JCB Studioz wakiwa katika picha na gari lao ambalo watakuwa wanalitumia kwa shughuri za uimbaji
Hatimaye bus dogo ambalo lilikuwa limeagizwa toka nje ya nchi na Uongozi wa waimbaji wa Light Bearers limewasili nchini kwa ajili ya kutumiwa na waimbaji hao toka studio za JCB zilizoko Tegeta jijini Dar es salaam.

Kupitia mtandao wa WhatsApp na Facebook waimbaji hao wameonekana kusambaza picha za kulionesha gari hilo.

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.