MTANGAZAJI

PICHA:MWILI WA MAREHEMU ESTER MHANDO WAAGWA LEO JIJINI DAR ES SALAAM





Mch Geogrey Mbwana akihutubia mamia ya waombolezaji

Mume wa Marehemu Dr Herry Muhando wa pili toka kulia

Watoto na Wajuu wa Marehemu

Mhandisi Mayunga akiimbisha wimbo


Mch Geofrey Mbwana akimfariji Dr Herry Mhando












Mamia ya ndugu jamaa na marafiki leo walifurika kuuaga mwili wa marehemu Esta Muhando katika Kanisa la Waadventista Wa Sabato Mwenge.

 Mwili wa Marehemu ambaye alikuwa mke wa Dr Herry Muhando  umesafirishwa kwenda Hedaru  ambapo mazishi yanatarajiwa kuwa kesho Februari 15 mwaka huu.

Ibada ya kuuaga mwili iliendeshwa na Makamu wa Kiongozi wa Kanisa la Waadventista Wa Sabato Mch  Geofrey Mbwana ambaye alihimiza watu waliohudhuria  kuacha alama zitakazokumbukwa hata baada ya wao kutoweka duniani kama ilivyo kwa marehemu Ester.

3 comments

Anonymous said...

So sad

Anonymous said...

Please God, give the family strength because its hard time, As a Christian liko tumaini mioyoni mwetu, kuonana asubuhi njema.

Jackson information resource center said...

Hakika liko tumaini ,kuonana asubuhi njema.

Mtazamo News . Powered by Blogger.