VIONGOZI WA WAADVENTISTA WA SABATO JIMBO LA MASHARIKI WALIPOTOA MSAADA KWA WAHANGA WA MAFURIKO KILOSA,MOROGORO
Mkuu wa mkoa wa Morogoro Joel Bendera akipokea moja ya magodoro toka kwa askofu Jimbo la Mashariki mwa Tanzania (ETC) Mch Mark Walwa Malekana. |
Hii ni awamu ya kwanza ya msaada toka kwa Kanisa hilo,awamu ya pili itahusisha michango iliyochangwa na waumini wa makanisa mbalimbali ya kanda hiyo
Post a Comment