VIONGOZI WA WAADVENTISTA WA SABATO JIMBO LA MASHARIKI WALIPOTOA MSAADA KWA WAHANGA WA MAFURIKO KILOSA,MOROGORO
![]() |
Mkuu wa mkoa wa Morogoro Joel Bendera akipokea moja ya magodoro toka kwa askofu Jimbo la Mashariki mwa Tanzania (ETC) Mch Mark Walwa Malekana. |
Hii ni awamu ya kwanza ya msaada toka kwa Kanisa hilo,awamu ya pili itahusisha michango iliyochangwa na waumini wa makanisa mbalimbali ya kanda hiyo
Post a Comment