MTANGAZAJI

TAZAMA PICHA ZA TAMASHA LA IMBA KWA UPENDO LILILOFANYIKA FEB 23,2014 PTA JIJINI DAR ES SALAAM

Family Music
Asha Majula na Fredy Kirya wa kundi la Light Bearers wakiimba
Jackob Mang'ombe na Nuru Kitambo
The Voices of Victory-VOV
Heaven Heritage
Mashujaa wa YESU
Acacia Singers
Namsifu Makacha


Tamasha la Imba kwa Upendo lilifanyika PTA jijini Dar es salaam Februari 23,2014 ambalo lilihusisha vikundi vya nyimbo za Injili vya Kanisa la Waadventista Wa Sabato vya jijini humo.

Tamasha hilo ambalo lilidhaminiwa na JCB Studioz zilizopo Tegeta kwa ushirikiano na blog ya mtangazaji liliwakutanisha waimbaji binafsi na vikundi zaidi ya 10 lilikuwa ni kwa ajili ya kuvikutanisha na kujenga mahusiano kwa vikundi hivyo na studio za JCB katika kufanikisha uimbaji katika masuala ya uinjilisti, kurekodi,matangazo na masoko.
Picha zote kwa hisani ya JCB Studioz

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.