3 comments
- PASSION4FASHION.TZ said...
-
Kazi ni kazi bora mkono uende kinywani,wanajitahidi ni bora yao,kulikoni kuishia kuwa jambazi au tapeli.
-
July 17, 2009 at 8:40 AM
-
Anonymous said...
-
wewe unayesema kazi ni kazi haufikirii kama kweli unataka kuthibitisha usemi wako embu leo tembelea ktk maeneo ya kaumba mjini morogoro uone biashara ya ukahaba inavyofanyika bila woga mabinti warembo na wakila aina wanajiuza je hiyo nayo ni kazi bora mkono uende kinywani? JUST IMAGINE MMMMMMM!
-
July 21, 2009 at 5:54 AM
-
Anonymous said...
-
uuuum, ukahaba? ni laana.....
-
July 21, 2009 at 8:16 AM
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
Post a Comment