MTANGAZAJI

KAZI NI KAZI


"Kazi ni kazi bora mkono uende kinywani"

2 comments

Anonymous said...

Hi! Mtangazaj?
Hiyo inakuwa vipi? Yaani unataka kutuambia kuwa hata kazi ya ukahaba,ushoga,kuuza bangi au madawa ya kulevya ni kazi? Wadau hapo vipi?

Anonymous said...

mtangazaji hapo kweli umechemsha kwasababu hiyo sentensi yako inayosema kazi ni kazi bado haijakamilika ni sentensi tata kama unabisha nenda kaibe kama wananchi wenye hasira kali hawaja kutoa manundu.

Mtazamo News . Powered by Blogger.