2 comments
-
Anonymous said...
-
Hi! Mtangazaj?
Hiyo inakuwa vipi? Yaani unataka kutuambia kuwa hata kazi ya ukahaba,ushoga,kuuza bangi au madawa ya kulevya ni kazi? Wadau hapo vipi? -
May 27, 2009 at 1:16 AM
-
Anonymous said...
-
mtangazaji hapo kweli umechemsha kwasababu hiyo sentensi yako inayosema kazi ni kazi bado haijakamilika ni sentensi tata kama unabisha nenda kaibe kama wananchi wenye hasira kali hawaja kutoa manundu.
-
May 27, 2009 at 3:13 AM
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
Post a Comment