MTANGAZAJI

RAIS WA TANZANIA AKUTANA NA KATIBU MTENDAJI WA SADC

 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwa katika mazungumzo na Katibu Mtendaji wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika SADC  Dkt. Stergomena Lawrence Tax mara baada ya kuwasili Ikulu  Jijini Dodoma


Katibu Mtendaji wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini
mwa Afrika SADC Dkt. Stergomena Lawrence Tax akizungumza na
Wanahabari mara baada ya mazungumzo yake na Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, Ikulu Jijini
Dodoma.

 

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.