MTANGAZAJI

SHIRIKA LA NDEGE LA ATCL LAZINDUA SAFARI ZA NDEGE KUTOKA DAR ES SALAAM HADI GEITA.


Ndege ya Shirika la Ndege la ATCL aina ya Bombardier Q-400 ikiwasili
katika uwanja wa Ndege wa Geita, Chato leo, Januari 9 2020 ikiwa ni uzinduzi wa
safari yake ya kwanza mkoani Geita.

Ndege ya Shirika la Ndege la ATCL aina ya Bombardier Q-400 ikiwasili
katika uwanja wa Ndege wa Geita, Chato  Januari 9, 2020 na kupewa heshima ya kumwagiwa maji Water Salute mara baada ya kuwasili wakati ikitokea jijini Dar es Salaam.

No comments

Mtazamo News . Powered by Blogger.